Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbrod Slaa
*Ahojiwa kwa tuhuma za uchochezi
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbrod Slaa, alithibitisha Mbowe kujisalimisha polisi akiwa amefuatana na mwanasheria, Nyaronyo Kicheere.
“Si kweli kwamba Mbowe amekamatwa, amekwenda polisi mwenyewe. Kama nilivyoeleza kwenye mkutano wetu pale Manzese juzi…Polisi walikwenda nyumbani kwake Mikocheni usiku kwa ajili ya kumkamata hawakufanikiwa.
soma zaidi..http://www.mtanzania.co.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=8263:mbowe-ajisalimisha-polisi-dar&catid=25:siasa&Itemid=41
No comments:
Post a Comment