Mratibu wa Chama cha Watabibu wa Dawa za Asili Tanzania (ATME), Boniventure Mwalongo amesema taarifa zilizotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TDFA) kuhusu matumizi ya mafuta ya ubuyu zinaweza kuleta madhara kwa jamii kwa sababu watu wengi wamekuwa wakiyatumia.
Akitolea mfano watumiaji wakubwa wa mafuta hayo, Mwalongo alisema, wenye magonjwa kama ya moyo na wanaoishi na Virusi vya Ukimwi wamekuwa wakiyatumia mafuta hayo kwa muda mrefu na kudai yamewasaidia.
Endelea kusoma...http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Vuta-nikuvute-kuhusu-ubora-mafuta-ya-ubuyu-waendelea-/-/1597296/1915274/-/l7bye3z/-/index.html
Endelea kusoma...http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Vuta-nikuvute-kuhusu-ubora-mafuta-ya-ubuyu-waendelea-/-/1597296/1915274/-/l7bye3z/-/index.html
No comments:
Post a Comment