Kitendo cha Chadema kutetea viti vyake vinne vya udiwani kwenye uchaguzi mdogo wa juzi, kimetafsiriwa kwamba ni kumfanya Meya wa Jiji la Arusha, Gaudence Lyimo kukalia kuti kavu. Kwa ushindi wake huo, Chadema kimefikisha viti 15 kwenye Baraza la Madiwani la Arusha wakati CCM kimebakiwa kuwa na viti 12 wakati TLP ina viti sita.
Pia Chadema kina nafasi ya kuongeza kiti zaidi kwani ina nafasi moja ya viti maalum iliyokuwa ikishikiliwa na Rehema Mohamed aliyetimuliwa mwaka 2011
Endelea kusoma...http://www.mwananchi.co.tz/habari/Siasa/Meya-CCM-akalia-kuti-kavu-Arusha/-/1597332/1916360/-/ks4memz/-/index.html
Endelea kusoma...http://www.mwananchi.co.tz/habari/Siasa/Meya-CCM-akalia-kuti-kavu-Arusha/-/1597332/1916360/-/ks4memz/-/index.html
No comments:
Post a Comment