BE FORWARD.JP

BE FORWARD.JP
JAPANESE CAR EXPORTER

Thursday 8 August 2013

JE NINI KIFANYIKE???

                                          Kipanya na maendeleo ya tz

Je ni kwanini bidhaa za tanzania zinakosa ubora ukilinganisha na Kenya???Mimi naona tunakosa viongozi wenye utashi kwa maana watu tunao na rasilimali zipo...http://www.mwananchi.co.tz/Picha/-/1597602/1933712/-/hci7txz/-/index.html#4

Bilionea auawa kwa risasi 20 Moshi

Mfanyabiashara tajiri wa Mirerani na Jijini Arusha, Erasto Msuya, ameuawa kwa kupigwa risasi zaidi ya 20 kwa kutumia bunduki aina ya Sub Machine Gun (SMG), jana mchana.
                                         Polisi wakiuandaa mwili..
Erasto anayemiliki vitega uchumi kadhaa na anayeaminika kuwa miongoni mwa wafanyabiashara wa Mirerani wanaoongoza kwa utajiri,aliuawa jana saa 7:00 mchana wilayani Hai mkoani Kilimanjaro.
“Eneo la tukio kumeokotwa maganda karibu 21 ya risasi zinazoaminika ni za SMG, yaani mwili ni matobo kila sehemu kwa kweli ameuawa kinyama sana,” alisema polisi mmoja wa Kituo cha Bomang’ombe.
Kufuatia mauaji hayo yaliyotokea kati ya neo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia) na mji wa Bomang’ombe, mji huo ulifurika magari ya wachimbaji kutoka Moshi, Arusha na Mererani.
Habari za uhakika zilieleza kuwa wauaji wake walikuwa katika pikipiki na baada ya kumminia risasi hizo, walimpora kibegi ambacho haikujulikana kama kilikuwa na madini ama mamilioni ya fedha.
Kulingana na vyanzo vya habari, mfanyabiashara huyo alipigiwa simu na kukubaliana kukutana katikati ya mji wa Bomang’ombe na makutano ya Barabara ya Kia katika Barabara Kuu ya Hai kwenda Arusha.


Monday 29 July 2013

Wanaongoza kwa usajili ghali duniani



1 .Cristiano Ronaldo, £80million from Manchester United to Real Madrid (2009) 

.Zlatan Ibrahimovic, £56.5m from Inter Milan to Barcelona (2009) 

3 .Kaka, £56m AC Milan to Real Madrid (2009) 

4 .Edinson Cavani, £55m from Napoli to Paris St-Germain (2013) 

5 .Radamel Falcao, £53m from Atletico Madrid to Monaco (2013)


Monday 22 July 2013

FAHAMU MTU MREFU NA MFUPI ZAIDI DUNIANI

 Robert Wadlow raia wa marekani ndie mtu mrefu zaidi duniani ana urefu wa 8ft11in*( http://www.thetallestman.com/robertpershingwadlow.htm)

May 1936, Robert Wadlow at 18 years old with his mother and (half of) brother Harold Jr.













Kwa upande mwingine Chandra Bahadur Dangi raia wa napal ndie mtu mfupi zaidi duniani ana urefu wa kwa 54.6cm(http://www.dailymail.co.uk/news/article-2106281/Shortest-man-world-Chandra-Bahadur-Dangi-smallest-man-21-5-inches-tall.html)


 Kwa tanzania inasemakana Baraka Tolu ndo mrefu zaidi ya Hashim Thabit